SALA KABLA YA KUSIKILIZA SEMINA
Baba katika Jina la Yesu, Ninakushukuru kwa uzuri wa utakatifu wako,Ninatubu dhambi zangu nikiomba kutakaswa Kwa Damu yako
Nioshe ufahamu wangu ili nikaelewe neno lako ,Mimi mwenyewe siwez Ninaomba Roho Mtakatifu unitawale na KUNIFUNDISHA zaidi
Nakataa kuzuiliwa kwa Jina la Yesu,Kila upinzani wa kusikiliza semina hii kamwe usipate nafasi
Ufahamu na moyo wangu navitakasa kwa Damu ya Yesu na viwe tayari kujifunza na kuelewa neno lako
Niongoze Roho Mtakatifu unipe ufunuo na kuelewa unachokisema
Nipe nguvu ya kujifunza kuanzia mwanzo hadi mwisho na nisibaki kama nilivyo
Ahsante Yesu
Tags:
MAOMBI