*DAY 06: MAOMBI NA KUFUNGA SABA KAVU*
✝️✝️✝️✝️✝️✝️✝️
Esta 4:16
Uende ukawakusanye Wayahudi wote waliopo hapa Shushani, mkafunge kwa ajili yangu; msile wala kunywa muda wa siku tatu, usiku wala mchana, nami na wajakazi wangu tutafunga vile vile; kisha nitaingia kwa mfalme, kinyume cha sheria; nami nikiangamia, na niangamie.
HUU ULIKUWA MFUNGO WA SIKU TATU KAVU
Na Lengo lilikuwa esther apate kibali kwa mfalme
*Je unahitaji kibali kwenye kazi,uchumi,kwa mmeo au mkeo etc?*
Ingia kwenye mfungo mpendwa
*MAOMBI*
✝️TOBA
✝️EE Bwana Yesu achilia neema ya kibali kwenye maisha yangu(kwenye maeneo haya..........YATAJE)
MadhabahuYAbibliatimes
0627945434
Tags:
MAFUNGA