Day 06: Maombi na kufunga siku 7 kavu|| Frank Bwenge

 *DAY 06: MAOMBI NA KUFUNGA SABA KAVU*



✝️✝️✝️✝️✝️✝️✝️


Esta 4:16


Uende ukawakusanye Wayahudi wote waliopo hapa Shushani, mkafunge kwa ajili yangu; msile wala kunywa muda wa siku tatu, usiku wala mchana, nami na wajakazi wangu tutafunga vile vile; kisha nitaingia kwa mfalme, kinyume cha sheria; nami nikiangamia, na niangamie. 


HUU ULIKUWA MFUNGO WA SIKU TATU KAVU 


Na Lengo lilikuwa esther apate kibali kwa mfalme 


*Je unahitaji kibali kwenye kazi,uchumi,kwa mmeo au mkeo etc?*


Ingia kwenye mfungo mpendwa 


*MAOMBI*


✝️TOBA 

✝️EE Bwana Yesu achilia neema ya kibali kwenye maisha yangu(kwenye maeneo haya..........YATAJE)



MadhabahuYAbibliatimes 

0627945434

Post a Comment

Previous Post Next Post