KITABU CHA UFUNGUO WA KIROHO BY MWL FRANK BWENGE

 


Njia rahisi ya kushindana na muovu shetani ni kuwa na maarifa maana asiye na maarifa ni mateka wa shetani (Isaya 5:13)


Isaya 5:13a

[13]Kwa sababu hiyo watu wangu wamechukuliwa mateka, kwa kukosa kuwa na maarifa; 


Yoyote anayepitia ugumu wowote ni mateka wa hilo tatizo na asili ya matatizo na uovu ni shetani 


Hatukuumbwa kuteseka lakini tunapokosa maarifa hakika adui anatumia fursa hiyo kutuangamiza Hosea 4:6 


Hiki ni kitabu ambacho nimepata neema ya kuandika mambo muhimu sana Kwa uwezo wa ROHO MTAKATIFU ambayo yamewafanya watu wengi kuwa mateka na nini wafanye kutoka huko 


UnASUMBULIWA na Magonjwa, uchumi umeyumba,huna kazi,watoto wanasumbua,una madeni kila mahali? Basi kuna maarifa umekosa na hiki kitabu ni kwaajili yako 


Huu ni ufunguo wa kiroho 


Whatsapp 0627945434 


#ufunguowakiroho #bihliatimes

1 Comments

Previous Post Next Post