Day 14: Maombi Ya Toba kwaajili ya kanisa

 *MADHABAHU YA BIBLIATIMES*


♨️♨️♨️♨️♨️♨️♨️♨️


*MAOMBI NA MFUNGO*


♨️♨️♨️♨️♨️♨️


 *DAY 14:* *TOBA KWAAJILI YA KANISA*


✝️✝️✝️✝️✝️✝️✝️


*NENO LA MUNGU*Matendo ya Mitume 3:19

[19]Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana; 


*NB* : kanisa si jengo kanisa ni jumuiya ya watu wanaomuamini Mungu kwa njia ya Bwana Yesu 


*MAOMBI*


1. TUNAOMBA REHEMA KWAAJILI YA KANISA LAKO KWA UOVU WOWOTE 

2. WASAMEHE VIONGOZI WA KANISA LAKO EE BWANA KWA MACHUKIZO YOYOTE 

3. ROHO MTAKATIFU USIKAE KIMYA KATIKA KANISA

4. TUNAACHILIA DAMU YA YESU JUU YA KANISA LAKO KAKO NA KUJITAKASA ARDHI PAMOJA NA ANGA 


Mwl Frank Bwenge 

0627945434



Post a Comment

Previous Post Next Post