Baba katika Jina la Yesu, NINAOMBA Toba na msamaha kwaajili ya dhambi zangu, ninaomba unirehemu na kunitakasa Kwa Damu yako
Ninatubu Kwa Chochote ambacho nimefanya na sikutubu Bwana Yesu
Ninaomba rehema pia kwaajili ya mme wangu,ninaomba nguvu yoyote iliyomnasa imuachie,uchawi wwote umtoke Kwa Jina la Yesu
Ninakata kamba na minyororo yoyote iliyomfunga ili kuharibu ndoa,, chochote kinachomzuia na kuharibu ufahamu wqke kimuachie sasa KATIKA JINA LA YESU
Namtenga na nguvu za giza na mapepo Kwa Damu ya Yesu, namtenga na roho za uhadaifu Kwa Jina la Yesu , nafungua ufahamu wake Kwa Damu ya Yesu
Narudisha ule upendo wa kwanza KUNG'OA kila pando la shetani kwenye maisha yake
Namrudisha kwenye ufahamu wa kwanza na kutenga na majini na kila matamko ya wachawi Kwa Jina la Yesu
Kwa Jina la Yesu , navunja minyororo ya ndoa, nafuta ndoa ya giza katika Jina la Yesu,navunja maagano ya ndoa za kipepo ktk jina la Yesu,nafuta mikataba yote ya giza ktk jina la Yesu
Kwa Damu ya Yesu naharibu sadaka Yoyote iliyotolewa ili kufung ndoa yangu, naharibu kila laana iliyotamkwa tangu zaman juu ya ndoa yangu
Kila roho iliyokaa kwenye mlango wa ndoa yangu TOKAAA KWA JINA LA YESUU X3
Ahsante Yesu
RUDIA KUSALI M
ARA NYINGI UWEZAVYO