Nguvu ya kushukuru katika ushirika na Mungu

 JIFUNZE KUSHUKURU 




Zaburi 50:23

[23]Atoaye dhabihu za kushukuru, 

Ndiye anayenitukuza. 

Naye autengenezaye mwenendo wake, 

Nitamwonyesha wokovu wa Mungu. 

..


UKISOMA MAANDIKO VIZURI utafahamu kuwa SHUKRANI ni njia ya kurudisha utukufu Kwa Mungu 

.

..

Watu wengi sana wamekuwa kama wakoma tisa yaani baada ya KUTAKASA hawarudishi utukufu Kwa Mungu KWASABABU wanachukulia Uponyaji ule kuwa jambo la kawaida 

.

.

Kama tutaishia kutamka na kutompa Mungu Utukufu kwa SADAKA au dhabihu hakika tunafunga milango ya kupokea tena 

.

.

Sadaka huweka mhuri kwenye kile umepokea ,maombi ya kornelio bila sadaka yasingekuwa ukumbusho kwasababu SADAKA ndio hunena kama ALAMA ya ukumbusho 

.

.

Sadaka ni mhuri Kwa maana INANENA KATIKA ULIMWENGU WA ROHO Juu ya uzima au uhitaji wa jambo fulani.

.

.

Ukimtukuza Mungu hakika umeomba tena bila kuomba 


Ni mambo mangapi amekufanyia hujawahi kumtolea sadaka??? 


Mungu akupe kufahamu na baraka ziwe sehemu ya maisha Yako 


#mwakawautukufu

Post a Comment

Previous Post Next Post