Katika Biblia utaona wazi Mungu akibadilisha majina ya watu
Mungu hafanyi mambo Kwa kubahatisha, kuna Maana kubwa sana ktk majina haya
Petro asingeweza kiongozi wa kanisa kama angeendelea kuwa simon
IBRAHIM asingekuwa Baba wa mataifa kama angeendelea kuitwa ABRAM
ISRAEL asingekuwa Baba wa Israel kama angeendelea kuitwa Yakobo
NABALI alikuwa na mali lkn upumbavu haukumtoka Kwa Kwasababu Jina lake lilimaaisha UPUMBAVU
YABESI ilimaanisha HUZUNI na hata baada ya kuwa na mafanikio kulijo ndugu zake bado aliishi ktk huzuni mpaka pale alipomlingana Bwana na kumfungua kutoka kwenye Jina lake
Wazazi ni vyema wakajua kuwa majina hayapatikani kwasababu wamepitia hali mbaya
Usimuite mtoto TABU kwasababu umeteseka kipindi cha ujauzito hakika utaandaa TABU kwenye maisha yake, ni kifungo cha Siri
KUSUDI LAKO LIMEFUNGAMANISHWA NA JINA LAKO NA KILA MTU ANA JINA KABLA HAJAZALIWA (SOMA Yeremia 1:5)
usidharau Jina lako
Hakikisha una fahamu kwanini uliitwa hivyo na Maana yake
Semina kuhusu SIRI YA JINA LAKO inaendelea kwenye Whatsapp group
Link in BIO
#siriYaJinalako #semina #bibliatimes
Tags:
MAHUBIRI